Wednesday, May 9, 2012




   Hiyo kama inavyoonekana ni Miss IFM ambayo mwaka huu imekuwa ADVANCED kidogo mpaka na wakaka nasi tumepewa fursa na kwenye hicho kinyan'ganyiro cha u"MR".
Na si hapo pekee bali itakua inasindikizwa na shoo kali ya Msanii anayevuma na kutamba sana hapa Tanzania...DIAMOND PLATINUM atakayesababisha ndani ya viwanja vikali vya CINE Club. Na bila kumsahau Mshehereshaji wa siku hiyo si mwingine bali ni yuleee...MPOKI toka ZeComedy.

Mazee hiyo si ya kukosa yani ful kuwakilisha pande zile na 15000/= kwa wenye ID za IFM na 20000/= kwa maraia wengine...

USIKOSEEEEEEEE!!!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...