Sunday, May 20, 2012

Faith



Tuyatamani sana mapenzi ya Mungu!


Mapenzi ya Mungu ni nini Kwako? Watu wengi wanatamani mapenzi ya Mungu yatimizwe kwao, lakini wanahangaika kwasababu hawajui mapenzi ya Mungu.

  1. Mungu anamakusudi makubwa kwenye maisha yako!

    Tumeumbwa na Mungu, kwa sura yake, na kwa mapenzi yake. Kama alivyofanya kwa Isaya tangu tumboni mwa mama yake (Isaya 49:1) Yeremia (Yeremia 1:5) na Paulo (Wagalatia 1:15) kwa kusudi maalum, basi pia Mungu ana kusudi maalum na maisha yako.

    Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho -Yeremia 29:11

    Biblia inasema mapenzi ya Mungu ni “mazuri” ya kumpendeza na ukamilifu-Warumi 12:2

  2. Kitu muhimu sana Mungu anachotaka kwetu ni, tuwe na mahusiano na Yeye kupitia Mwanaye, Yesu Kristo. 

    Hili ni zuri na lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu, ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli- 1 Timotheo 2:3-4

  3. Mungu anataka tuwe wanafunzi wa Bwana Yesu 

    Hii ina maanisha kwamba wakristo tuyatafute mapenzi ya Mungu kila siku, bila kujali gharama yake.

    Akawaambia wote, Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate- Luka 9:23

  4. Biblia (kama Neno la Mungu) Itatusaidia kuyajua mapenzi ya Mungu.

    Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu- Zaburi 119:105

  5. Mungu ameahidi kutupa hekima kama tukimuomba (maombi) Amini atakupatia 

    Wakati mwingine tunahitaji kuomba Hekima tuyatambue mapenzi ya Mungu kwetu

    Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei: naye atapewa- Yakobo 1:5

    Katika Wafilipi 4:6, Mungu anatuambia tunaweza kuomba jambo lolote.

  6. Mungu ametupa Roho Mtakatifu kama kiongozi.

    …Atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote- Yohana 16:13a

  7. Fuata ushauri wa watumishi wa Mungu, au watu wa Mungu ambao Mungu amekukutanisha nao kwenye maisha yako.

    Mara nyingi ushauri wa wazazi, mchungaji, kiongozi wa vijana, mwalimu au yeyote mtu mzima anaweza kukushauri na kusaidika kuamua nini Mungu anataka ufanye.

    Njia ya mpumbavu imenyooka machoni pake mwenyewe, Bali yeye aliye na hekima husikiliza shauri- Mithali 12:15

    Pasipo mashauri makusudi hubatilika, Bali kwa wingi wa washauri huthibitika- Mithali 16:22

  8. Neno la Mungu linasema kuna Amani inayopatikana tunapomhusisha Mungu kwenye maisha yetu

    Unapochagua njia mbili ambazo zote ulikuwa ukiomba, wakati mwingine njia mojawapo itakupa amani kamili, hiyo njia yawezekana ni mpango wa Mungu.

    Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima- Isaya 32:17

  9. Inabidi tuweke tumaini letu kwa Mungu, Mapenzi yake yatimizwe kwetu. 

    Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usitegemee akili zako mwenyewe- Mithali 3:5-6

    Nami niliaminilo ndilo hili, ya kwamba yeye aliyeanza kazi njema mioyoni mwenu, ataimaliza hata siku ya Kristo Yesu- Wafilipi 1:6

  10. Mungu amempa kila mmoja wetu karama na uwezo tutumie kwenye kazi yake. 

    Siku zote Mungu anawezesha nguvu ya kufanya yale anayokuwezesha kufanya. Kama hauna kipaji fulani, usilazimishe, Mungu hajakuita kufanya hicho kitu. (Soma Warumi 12:6-8, 1 Wakorintho 12:1-11 na Waefeso 4:11-13 kwa karama za rohoni na maelezo yake)

    Kumbuka kwamba mapenzi ya Mungu ni makubwa kwetu sote, Ili Yeye Atukuzwe, Ainuliwe “Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu” 1 Wakorintho 10:31, Injili na ufalme wa Mungu ukatangazwe kwa wote. Mwanzo 50:20 na Wafilipi 1:12.

    Mungu Awabariki.

Wednesday, May 9, 2012




   Hiyo kama inavyoonekana ni Miss IFM ambayo mwaka huu imekuwa ADVANCED kidogo mpaka na wakaka nasi tumepewa fursa na kwenye hicho kinyan'ganyiro cha u"MR".
Na si hapo pekee bali itakua inasindikizwa na shoo kali ya Msanii anayevuma na kutamba sana hapa Tanzania...DIAMOND PLATINUM atakayesababisha ndani ya viwanja vikali vya CINE Club. Na bila kumsahau Mshehereshaji wa siku hiyo si mwingine bali ni yuleee...MPOKI toka ZeComedy.

Mazee hiyo si ya kukosa yani ful kuwakilisha pande zile na 15000/= kwa wenye ID za IFM na 20000/= kwa maraia wengine...

USIKOSEEEEEEEE!!!

New single from Lady Jay Dee kwa mwaka huu, Yeye. Production imefanyika ndani ya FischCrab Studios chini ya Producer Lamar, na Jide ameimba lgha nne tofauti ndani ya hiyo single, kiingereza, kiswahili, kilingala na kiganda... Ni bonge la pini kama kawa toka kwa mmoja wa wanamuziki wa kike wanaokimbiza hapa Afrika mashariki na kati. 
  Ni swala la kuitafuta na kuisikiliza ndo mpango mzimaaaaa...

Monday, April 23, 2012

Facebook Photos Slideshow Generator : FB Widget



All of you have uploaded your favorite photos to facebook. All of the photos on facebooks needs to be viewed individually. This is a problem and consumes a lot of time in refreshing the page. Now, there’s a solution to this. Microsoft Fuse Labs has introduced a tool that can generate a PowerPoint slideshow presentation of all you facebook photos. To get this tool, all you need is to visit this website and login with your fb username and password.

Once you are logged in, select all the pictures of which you need to create a slide show. Once your selection is over, simply click on the create button and wait for the side show to generate. Once all your photos are rendered, the tool will show you a preview of the slides. This slideshow can be downloaded and opened using your powerpioint viewer on your PC. You can even edit these slides using the Microsoft PowerPoint app and share it with your social friends.

Saturday, April 21, 2012

Kinywa hunena yale yaujazayo moyo -TAFAKARI

Mathayo 7:15-20

Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya.Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

Luka 6:43-45

Kwa maana hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala mti mbaya uzaao matunda mazuri; kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake; maana, katika miiba hawachumi tini, wala katika michongoma hawachumi zabibu. Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.

Saturday, April 14, 2012

God has a positive answer!


YOU SAY
GOD SAYS  
BIBLE VERSES
You say: ‘It’s impossible’
God says: All things are possible  
( Luke 18:27)  
You say: ‘I’m too tired’  
God says: I will give you rest  
( Matthew 11:28-30)  
You say: ‘Nobody really loves me’  
God says: I love you  
( John 3:1  6 & John 3:34 )  
You say: ‘I can’t go on’  
God says: My grace is sufficient
(II Corinthians 12:9 & Psalm 91:15)  
You say:  ‘I can’t figure things out’  
God says: I will direct your steps
(Proverbs 3:5-  6)  
You say: ‘I can’t do it’  
God says: You can do all things  
( Philippians 4:13)  
You say: ‘I’m not able’  
God says: I am able
(II Corinthians 9:8)  
You say: ‘It’s not worth it’
 God says: It will be worth it  
(Roman 8:28 )  
You say: ‘I can’t forgive myself’  
 God says: I Forgive you  
(I John 1:9 & Romans 8:1)  
You say: ‘I can’t manage’  
 God says: I will supply all your needs  
( Philippians 4:19)  
You say: ‘I’m afraid’
 God says: I have not given you a   spirit of fear  
( II Timothy 1:7)  
You say: ‘I’m always worried and frustrated    
 God says: Cast all your cares on ME
(I Peter 5:7) 
You say: ‘I’m not smart enough’  
 God says: I give you wisdom  
(I Corinthians 1:30)  
You say: ‘I feel all alone’  
 God says: I will never leave you or forsake you  
(Hebrews 13:5) 

Friday, April 6, 2012

Ijumaa Kuu, Pasaka!


Baada ya alhamis kupita, Ijumaa Bwana Yesu alipigwa mijeredi, alichubuliwa, alidharauliwa na kuteswa sana. Wakamcoma mkuki ubavuni, akafa na Jumapili siku ya tatu. Akafufuka. Yu hai hata leo, tunaishi naye!! Kwa kupigwa kwa Yesu sisi tumewekwa huru, tumehesabiwa haki bure pasipo sheria, magonjwa yetu, huzuni zetu alizibeba msalabani. Tumepona

Je kuna haja ya wakristo kukumbuka kuteswa na kifo cha Bwana Yesu Ijumaa Kuu? Kuna wakristo wengine hawali nyama, wengine wanahuzunika sana. Nk

Warumi 14:5 imeandika ” Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa ni sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe” 

Tunaweza kuweka akilini mwetu kwamba siku hii ni siku ya kukumbuka kifo cha Bwana Yesu, Mateso aliyoyapata ni kwa ajili yetu, Damu yake ilimwagika msalabani kwa ajili ya dhambi zetu.

1 Wakorinto 11:24-26 “Naye akisha kushukuru akaumega, akasema, huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.  Na vivi hivi baada ya kula akakitwa kikombe, akisema, Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo, kwa ukumbusho wangu. Maana kila mwulapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo”

1 Petro 3:18 “Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; mwili wake akauawa, bali roho yake akahuishwa”

Wakristo wengi tunaikumbuka siku hii na pengine kuimba nyimbo za kuhuzunisha za kusulubiwa kwa Bwana Yesu, kufanya maombezi na kumshukuru Mungu.

Tunakumbuka siku ya kusulubiwa na kufufuka kwa Bwana Yesu maana Imani yetu iko hapo.

Ijumaa kuu zijazo:
2012 = April 6
2013 = March 29
2014 = April 18
2015 = April 3

Sunday, March 25, 2012

How do you see yourself!


Everything we do is based on how we see ourselves; when it should be based on how we do not see ourselves, because if you are in Christ it is no longer you who are there living, and if it is no longer you, then you should not be able to see yourself, but see Christ instead who lives in you; and not your abilities, but his abilities should be the measure of what is possible with you. That’s why you can do all things according to how you see Christ in you strengthening you for all things to be possible with you.

Christ is the power of God in you to do all the things that Christ did in his three years of ministry and told us to continue doing. When you are distilled as the simplest expression of what you are, you are the thing that is described as having its source at the throne of God in heaven and the exceeding greatness of it is flowing towards you and I. Paul in Ephesians prays that the eyes of our understanding might be opened to see and acknowledge this; flowing to you from the throne of God. When it comes together in you, it is the power of God, and has a name……Christ the power of God.

The easiest, clearest way to see who you are is when you are distilled. That process separate what you are from what you are not. That is what happens when you die; part of you goes back to the ground…dust to dust, ashes to ashes; and part of you do not. The part of you that is not dust is eternal, and goes back to God where it came from. Believe it or not, for the purpose of knowing who you are, and how to be effective in doing things according to what you really are, you can be distilled without experiencing physical death. That is what resurrection life in Christ is—not just life….but resurrection life, something that happens while you are still alive that would ordinarily happen after you die. The word is called a discerner to distinguish between your thoughts and your intentions, between soul and your spirit, so you can tell the difference between where your humanity ends and your real eternal divine nature begins. By that you can tell the difference between your thoughts and God’s thoughts which though they are different from your thoughts you are suppose to embrace Gods thoughts for your eternal while you still live and act out of those eternal thoughts.

Take a GOD Look

Friday, March 23, 2012

Need For Speed The Run-RELOADED





Need for Speed: The Run (c) Electronic Arts Inc. 

 GAME.TYPE ........: Racing 
   It's called The Run. An illicit, high-stakes race across the country. The only way to get your life back is to be the first from San Francisco to New York. No speed limits. No rules. No allies. All you have are your driving skills and sheer determination as you battle hundreds of the world\'s most notorious drivers on the country\'s most dangerous roads. 
   In Need for Speed The Run, you\'ll weave through dense urban centers, rocket down icy mountain passes and navigate narrow canyons at breakneck speeds, all the while evading a relentless police force prepared - and willing - to use lethal force to take you down. * From the Golden Gate to the Empire State - Compete in The Run, an illicit race across the most iconic and treacherous roads from San Francisco to New York. There are no rules and no allies in the cities, deserts, mountains and canyons than stand between you and the finish line. * You are Jack\'s Competitive Edge - Jack is in a race for his life, but he\'s got something the competition doesn\'t: You. Keep Jack one step ahead of the dangers from his dark past, both inside and outside the car. It\'s up to you to get Jack to New York in one piece and ahead of the competition. * Beat Your Friends - Connect to Autolog. Compare your times against those that matter most. Compete to be the best. Autolog now tracks your entire career - making every second of every race count in the battle to be the fastest to New York. * Racing Powered by Frostbite 2 - The powerful new Frostbite 2 engine, created by the award-winning DICE studio, advances technical achievements to deliver a gameplay experience with an unprecedented level of visual detail, environmental immersion, and emotional impact. 2. Burn or mount the image. 3. Install the game. 4. Copy over the cracked content from the /Crack dir on DVD2 to your dir. 5. Play the game. 6. Support the software developers. If you like this game, BUY IT!

 PS: As usual, don\'t let the game go online, and stay away from Origin

Download it here >>> Need for speed the run [torrent]
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...